Mwanamuziki
wa kizazi kipya Suma Lee mwenye wimbo unaotamba Bongo wa Hakunaga ambao
umeshinda tuzo ya wimbo bora kwenye Kili Award akivinjali mitaa ya New York City muda mfupi baada ya kuwasili jijini humo.
Suna
Lee (kulia) akiwa Dean Nyalusi mitaa ya kati Times Square, Suma Lee
yupo njiani kuelekea Columbus, Ohio kwenye shughuli za Kimuziki
Suma Lee (shoto) akiwa na mwenyeji wake NY Ebra mitaa ya Tines Square New York City.
Suma Lee akiwa mitaa ya New York City
Hakunaga, hakunaga, hakunaga!!!
ReplyDeleteIsije ikawa hakunaga ndio ikawa kimoja 'hakunaga kurudi Bongo' baada ya kufanikiwa kuingia Unyamwezini au siyo?
Watajuaje?
ReplyDeleteUmekwivaaaaaaaaaaa Star!!!!
ReplyDelete