Mbunge wa jimbo la Kilolo Prof Peter Msolla kulia akimkabidhi mkuu wa shule ya sekondari Maria Consolata Udzungwa Bw Mufwalamagoha Kibasa msaada wa vitabu vilivyotolewa na kampuni ya simu ya Airtel katika jimbo hilo
Prof Msolla akionyesha moja kati ya vitabu vya kiada vilivyotolewa na kampuni ya simu ya Airtel
Mbunge wa jimbo la Kilolo Prof Peter Msolla na mwakilishi wa Airtel mkoa wa Iringa Hildegrad Ntamuturano (kushoto) wakikabidhi msaada wa kompyuta kwa ajili ya shule ya sekondari Mazombe
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...