Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha, Dkt. Richard Masika(kulia) akisalimiana na Balozi wa Japan nchini, Mhe. Masaki Okada kabla ya Kutembelea maeneo mbalimbali ya Chuo
 Balozi wa Japani nchini,Mhe. Masaki Okada akipokea Maelezo kuhusu Ujenzi wa Maabara ya upimaji maji na Udongo kutoka kwa Mkuu wa Chuo, Dkt. Richard Masika
 Akiwa kwenye maabara ya Upimaji Udongo
 Anakipokea maelezo kuhusu ATC- Campus Irrigation Demonstration plot
Balozi akitazama Mtambo wa Kufua umeme uliombuniwa na Chuo cha Ufundi Arusha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...