Dear Michuzi, 
Habari za Jumatatu,
 Jana jumapili ya tar 17 May, wanachama  wa Baraza la CHADEMA (BAVICHA) tawi la Arusha walipata Muda  wakumtembelea mjane wa Marehemu Msafiri Mbwambo  aliyekua  Mwenyekiti wa Chadema kata USA-River wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.
Walipata fursa yakukaa na familia hiyo nakujumuika nayo pamoja kupeleka mahitaji kiasi kwa familia hiyo.  Walipata nafasi pia yakufanya shughuli za nyumbani  hapo na baadae kurudi Arusah.

Wakiwa hapo pia walipata kuijua vizuri familia hiyo wakiwemo mabinti watatu wa marehemu ambao waliwatia majonzi vijana hao na pia BaVICHA walifurahishwa na ujasiri wa Mjane na watoto hao.
Siku Njema 
Emmanuel 
Friend of CHADEMA Arusha
 Wanachama wa BAVICHA wakiwasili nyumbani kwa mjane huyo
Wanachama wa BAVICHA wakiwa na familia ya marehemu Msafiri Mbwambo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 19, 2012

    Kila nikikumbuka ishu ya Msafiri chozi linanidondoka

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...