Ilikuwa ni Bonge la Surprise kwa mwana dada Theo Chanda (laiyeshika keki) kutoka Precison Air pale alipo shushiwa keki ya Birthday  wakati wa mlo wa mchana katika Hoteli ya Kitalii ya  Chaminuka iliyopo umbali Kilometa 48 kutoka mjini Lusaka na iliyo zungukwa na Hifadhi binafsi ya Wanyama iliyo na ukumbwa heka 10,000. Pichani ni Theo akiwa na wadau pamoja na Balozi wetu nchini Zambia Mama Grace Mujuma (wa pili kushoto)

Theo pamoja baadhi ya wafanyakazi na viongozi wa Precision Air na wateja wao wapo Lusaka Zambia wakiangalia vivutio mbalimbali vya Utalii baada ya Uzinduzi wa Safari mpya za Shirika hilo Lusaka Dar kupitria Lubumbash.
 Theo Chanda akikata keki hiyo
 Mkurugenzi Mkuu na CEO wa Presicion Air, Alfonse Kioko nae alikuwepo. Shoto ni Balozi Grace Mujuma
 Theo akiteta jambo na rafiki yake Yvonne Baldwin pia kutoka Precision Air
Burudani kali ilitolewa na jamaa hawa.
 Mustafa Hassanali nae alitoa pongezi
 
Mikonzzzzz ya pongezi nayo ilikuwepo toka kwa mdau.
Picha zote na mpiganaji Mroki Mroki

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 24, 2012

    Happy Birthday ya kuzaliwa!,sijaelewa hapo mlikuwa mnamaanisha nini.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 24, 2012

    WE KWELI KILAZA SASA USICHOELEWA NINI HAHAHAHA KWELI WATU VILAZA DUNIANI ..HATA PICHA HUONI?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...