Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Saudi Arabia Mhe. Hani Moninah alipofika Ofisini kwake kumtembelea leo.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda makimkaribisha Balozi wa Jamhuri ya Sudan Mhe. Dkt. Yassir Mohamed Alli alipomtembelea Spika Ofisini kwake leo. Balozi huyo alifika Ofisini kwa Mhe. Spika kuwasilisha barua kutoka kwa Spika wa Bunge la Sudan Mhe. Ahmed Ibrahim Ali- Tahir yenye ombi la kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Sudan kutembelea Tanzania kwa ziara ya mafunzo.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimuaga Balozi wa Jamhuri ya watu wa Saharawi Mhe. Brahim Salem Biget alipofika ofisini kwake leo na kufanya nae mazungumzo.Picha zote na Owen Mwandumbya wa Bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 07, 2012

    ANKAL rekebisha HEADING kuna herufi umeruka, ni MABALOZI sio 'MALOZI'
    Ni hilo tu... nakutakia kazi njema

    JJ
    Arusha

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 07, 2012

    Nchi yetu siku hizi watu wanatupenda,wanatutembelea mara kwa mara

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...