Kaimu meneja wa chama cha ushirika cha wilaya ya Namtumbo na Songea(sonamcu) akimkabidhi risala ya wakulima wa chama hicho mkuu wa wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma Abdala Lutavi.
Mwenyekiti wa SONAMCU,Awami Ngonyani akizumngumza wakati wa ufunguzi wa soko la Tumbaku katika kijiji cha Matepwende wilayani Namtumbo ,kulia mkuu wa wilaya hiyo Abdala Lutavi.
Baadhi ya wakulima wa tumbaku wa wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma,wakikagua tumbaku yao kabla ya kuuza kwa makampuni yanayonunua tumbaku kwenye ufunguzi wa mauzo ya zao hilo katika kijiji cha Matepwende wilayani humo.
Wakulima wa Tumbaku kutoka katika kata ya Lwinga wilayani Namtumbo wakiangalia tumbaku yao kabla ya kuanza kwa zoezi la kuuza kwa makampuni yanayonunua tumbaku wilayani humo.Picha na Muhidin Amri,Globu ya Jamii-Ruvuma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 07, 2012

    Bwana Michuzi, hii siyo ya kutoa kwenye mtandao. Tumbaku inaua.. wakulima wafikirie zao jingine!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 07, 2012

    Inasaidia nini tumbaku zaidi ya kuathiri afya za watumiaji

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...