Pundamilia wenye rangi za kuvutia kama waonekanavyo pichani ndani ya hifadhi ya taifa ya Mikumi.
Tembo wa Mikumi.
Twiga kama wanavyoonekana.
Swala la Pundamilia ndio wanaoonekana kwa wingi katika Mbuga ya Mikumi.
 Swala wakikatisha Barabara.
Nyumbu.
Nyati wakila majani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 19, 2012

    Yaonekana aliyepost habari hii hajui tofauti kati ya Nyumbu na Fungo... Kwa kukusaidia tu Fungo kwa kingereza ni Civet, wakati Nyumbu ni Wild beast...

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 19, 2012

    naona siku hizi wabongo kizungu kinapanda kila leo kwa kuwakose wenzetu mbona hatukosowani kwa lugha zetu kuwaenzi lugha zetu za kinyumbani badala ya kujitia mahodari wa kizungu

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 19, 2012

    Dah! we anon wa kwanza hujamsaidia mleta picha ila umezidi kupotosha. Sijaona matumizi ya kii-nglishi katika hizi picha. Tuambie kama yule si nyumbu ni nani kwa kiswahili.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 19, 2012

    AHSANTE KWA PICHA NZURI ZA WANYAMA WALIOPO MIKUMI, NAOMBA KUELIMISHWA ZAIDI, HAPO JUU KUNA PICHA IMEANDIKWA KWAMBA HAO WANYAMA NI FUNGO NIELEWAVYO MIMI HAO NI NYUMBU NA FUNGO NI AINA YA WANYAMA KAMA PANYA, JE KIPI NI SAHIHI. JAMANI NARUDIA KWAMBA NCHI YETU INA MENGI MAZURI WAKIWEMO WANYAMA WENGI WA KUVUTIA. BODI - TTB IELIMISHE WANANCHI ZAIDI KUHUSU UTALII WA NDANI KWA VIKUNDI, FAMILIA, KIOFISI N.K.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 19, 2012

    sasa yupi nyumbu na fungo na wewe anonymous nyoosha maelezo ili tuelewe

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 19, 2012

    SAMAHANI... NAONA UMECHELEWA KUISOMA KWA MAANA WAMESHAREKEBISHA PALE KWA NYUMBU WALIANDIKA FUNGO KWANZA. USHAURI BAADA YA KUSAHIHISHA LABDA WANGETOA NA HIYO KOMENTI "COMMENT".

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...