Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama chupa ya chai ya mti katika kilele cha sherehe za kutoa ruzuku kwa wajasiriamali waliofanya vizuri katika Programu ya fanikiwa kibiashara zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo.Kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwezeshaji na Uwekezaji, Dkt, Mary Nagu.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia moja ya viatu vilivyoonyeshwa kwenye banda la Mareshi Shoe Maker katika kilele cha sherehe za kutoa ruzuku kwa wajasiriamali waliofanya vizuri katika Programu ya fanikiwa kibiashara zilizofanyika kwenye viwanja vya Mbazi mmoja jijini Dar es salaam Juni leo.Kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwezeshaji na Uwekezaji, Dkt, Mary Nagu na kulia ni Mwenyekiti wawa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania, Mama Ester Mkwizu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2012

    Honger! Honger! Mama Mkwizu Asante kubwa kwa Waziri Mkuu Pinda pamoja na Dr Ngau kutembelea banda ya moneshi ya kufaniikwa biashara, Asante Mchuzi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...