Mchezaji wa timu ya Kitunda Veterani (nyekundu) akichuana na mchezaji wa Kivule Veterani katika mchezo wa kirafiki uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Shule ya Kitunda, Ukonga, Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)

Kikosi cha Kivule Veterani
Wachezaji wa Kivule Veterani na Kitunda Veterani wakiwa katika picha ya pamoja baada mchezo kumalizika kwa kufungana bao 1-1.
Kikosi cha Kitunda Veterani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 09, 2012

    Hilo vumbi hapo LAZIMA mtu aondoke na TB kwenye huo mchanga.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...