Kaka michuzi,
Naomba wanaohusika na masuala ya rekodi za mambo yasiyo ya kawaida wamtafute huyu Mama Vilet, mjini Dodoma. Hana mikono. Ana umri wa miaka 41 na anao watoto wawili; mkubwa akiwa na umri wa miaka 18 na anasoma kidato cha nne. Mama huyu ni mnyenyekevu na ndiyo maana alikubali nipige picha naye Mnadani, Dodoma. Nimekutana na wafupi, lakini huyu mama kwa kweli nimemvulia kofia!
Mdau Manyerere.
niliwahi kuona mtu mfupi kwenye TV ya CNN ana miaka 71 nafikiri alikuwa na urefu wa nchi 14 kwa hapa sikumbuki vizuri na anatokea nchi ya Pakistani-lakini hata huyu wa kwetu ,jamani naye yumo kwenye rekodi ,please wanaojua anga za mabook ya gueness ,njooni na bongo. Zebedayo msema kweli.
ReplyDeletehuruma hamna, badala ya kumsaidia wanakimbilia kumpa mizigo ya watoto.
ReplyDeletehata hivyo inaonekana anajitahidi kupigana na maisha na hakati tamaa.
Na yeye anayo haki ya kupata watoto. Nadhani wakiwa na elimu na wakajitambua watamsaidia vizuri mbeleni.
ReplyDeleteHuyu mchangiaji wa Sun Jul 08, 12:52:00 PM 2012, kuwa na hali yake haimaanishi amekosa haki ya kuwa na familia, unataka asaidiwe umesikia anaomba msaada.
ReplyDeleteAliyeko kwenye Guiness urefu wake ni robo tu ya huyo unayemuita mfupi wa Dodoma!
ReplyDeleteMdau una matatizo mazito, kwani akiwa mlemavu ndio asizae? Kila mwaanamke anafurahi kuitwa mama, na nina uhakika ukimwuliza mwenyewe atakuambia faraja yake ya pekee ni hao watoto wake. Watanzania wengi hawajui haki za msingi za binadamu. Nakushangaa unaposema hawamwonei huruma. Yeye pia ana feelings kama wewe, na ndio maana akashiriki kikamilifu na kupata hao watoto wake. Au alikuambia amebakwa?! Tafakari kabla ya kutoa comment zisizo na maana!
ReplyDeleteShe is a victim of phocomelia, and extremely rare congenital disorder involving limbs,there are several causes for this, the most common ones are the use of the drug Thalidomide in the 60s and from genetic inheritance.
ReplyDeleteJust for the information, shortly after Thalidomide was made available as over the conter drug (In W.Germany) to treat morning sickness in pregnancy, about 7,000 children were born with phocomelia in West Germany.
Whatever the cause to this lovely lady`s case, she seems happy and was also blessed with two children, she is a tough woman,it must have been hard to go through pregancy, child birth and looking after her children, well done to Mama vilet.
Thalidomide was taken out use in 1996, it is still used in treatin Erythema Nodosum Leprosum.
Dr Gangwe Bitozi
Hivi unawezaje kufanya mapenzi na mtu kama huyu. Si kama unafanya na mtoto? Nina wasiwasi mtu aliyelala naye hata watoto anabaka.
ReplyDeleteAsante sana anonym hapo juu kwa kimombo safi na kutuelemisha juu ya hili tatizo; lakini k.m binadamu wa kawaida naye anahitaji kuwa na familia; naamini hao watoto wake ndiyo watakuwa msaada kwake, wakiongozwa na Baba yetu aliye mbinguni
ReplyDeleteSorry, Thalidomide was taken out of use (Ughaibuni) in 1961.
ReplyDeleteDr G.Bitozi.
Manyerere; unasema umemvulia kofia wakati bado tunaona umeivaa???, HA HAAAAAA, HA HAAAAA.
ReplyDeleteJamani, huyu naye ni binadamu kama ww unayetoa maoni hapo juu. Ana haki ya kuzaa, kuishi na kuthaminiwa.
Kwanza Tunamshukuru Mungu kwa miujiza hii ya kumfanya mama huyu aweze kuzaa bila matatizo, kwasababu kama siyo miujiza mambo yafuatayo yangemtokea kwani najua aliyelala naye ni mtu wa kawaida yaani mkubwa,
ReplyDeleteTatizo la kwanza, angeweza kupata "uterus rapture" kwasababu ya overextension ya tumbo lake dogo,
pili, angeweza kupata "Distockia" yaani mtoto kukwama kwenye njia ya kizazi, kwa vyovyote anamaumbile madogo proportional to her size.
Lakini bwana akasema mimi ndiye muumbaji na maumbile nayajua mimi, naye binti yake hakupata shida,
akamsaidia bure.
Asante Mungu.
Wewe Anon. uliyesema:-
ReplyDelete"Hivi unawezaje kufanya mapenzi na mtu kama huyu. Si kama unafanya na mtoto? Nina wasiwasi mtu aliyelala naye hata watoto anabaka."
Nadhani umejisahau na kuanza kumkufuru Muumba. Hujuwi kwamba AKIKUPA KILEMA HUKUPA NA MWENDOWE? Basi ukiutafakari huo msemo, utapata jibu fasaha na hapo ulipo kumbuka ungali hujafa basi bado hujaumbika. Mapenzi upofu, kibaya kwako, lakini chema kwa mwenzako. Dunia hii wawili wawili, pengine alijaaliwa kuwa na mwenza wake na yote yakawezekana, tuache kufuru tukijidhania tumekamilika na kutowa maneno ya kejeli au kashfa kwa wengine. Mwenyeez Mungu akulinde na azidi kukupa nguvu na uwezo Mama Vilet, ili uweze kuitunza familia yako na muishi kwa salama na amani raha mustarehe.
sio kweli huyo siyo mfupi.nipe mail yako nikutumie mtu mfupi zaidi duniani kulingana na guiness book of records. au kwa kukusaidia anatoka singapore
ReplyDeleteMapenzi hayana adabu!
ReplyDeleteWadau hamjaona watu wanawazalisha Vichaa,Vipofu, Mabubu na Mataahira ije kuwa huyu mtu ingawa ni Mlemavu wa kuwa na umbile fupi lakini ana akili zake timamu?
Watu wengi wanaustaarabu wa kuazima, usiotoka moyoni na wakibinafs! Nao na ndoo huzaa kujipendelea na kusahau wengine, huo ni ufisadi.
ReplyDeleteNahisi huyu mama akisoma comments za baadh ya wachangiaji hapa atajisikia vibaya sana na atatokwa na machozi
ReplyDelete