Mtangazaji wa BBC Charles Hilary na afisa ubalozi Bw. Nginillah katika kijiji cha Olimpiki London
 Viongozi wa timu ya Olimpiki ya Tanzania wakiwa na maofisa wa Ubalozi wetu Uingereza baada ya kuwasili kwenye makazi yao katika kijiji cha Olimpiki, London, leo
 Jengo ambalo timu ya Tanzania itakaa wakati wa michezo hiyo
 Wanamichezo na maofisa wa ublozi kijijini hapo leo
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Peter Kallaghe (wa tatu toka kushoto) akiwa na Watanzania wengine wakisubiri Bendera ya Taifa kupandishwa katika kijiji cha Olimpiki jijini London muda huu.  
Picha zote na mdau Israel saria

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 27, 2012

    Waifu anasema yeye hatowahi kusherehekea Tanzania mwaka huu ijapokuwa yupo hapa East London asema hajakata tamaa ya kuiona timu ya zenj one day !Ingawa bado analo gamba la kijani la Adam na Hawa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...