Waziri mpya wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Rashid Seif kulia akikabidhiwa Ofisi yake na Waziri wa wizara hiyo aliyejiuzulu karibuni Hamad Masoud Hamad kufuatia ajali ya kuzama kwa MV.Skagit. Picha na Nafisa Madai-Maelezo Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 27, 2012

    Ofisi ya waziri haina hata Desktop computer!!!!!....

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 27, 2012

    Baada ya kujiuzulu afikishwe mahakamani. Sio kuwa ndo ameseve soo.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 27, 2012

    Kama mwandishi wa hapo juu isiishie kujiuzulu. Tuache kulindana kwani boti hiyo inaonyesha haikuwa hata na vifaa vya usalama (maboya) lakini ilipewa leseni ya kuuwa wananchi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...