Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Geofrey Nyange Kaburu (kushoto) akimkabidhi Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe (kulia) tuzo ya heshima kutokana na mchango mkubwa wa bia ya Kilimanjaro Premium Lager katika mafanikio ya klabu hiyo. Tuzo hiyo imetolewa leo wakati wa sherehe za siku ya Simba (Simba Day) inayoadhimishwa leo hii kwenye uwanja wa Taifa wa jijini Dar. Anayeshuhudia ni Mgeni rasmi katika hafla hiyo, Profesa Philemon Sarungi. (Picha: Executive Solutions)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hao Wachaga Nyange na Kavishe wameshavamia timu yetu watu wa pwani??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...