MGOMBEA Uwakilishi katika Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Bububu kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC),  Bi.  Zuhura Bakar Mohammed (kushoto) akirejesha fomu kwa msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo, bW. Ali Rashid Suluhu baada ya kukamilisha taratibu za kuzijaza huko katika ofisi za tume hiyo zilizopo Maisara mjini Zanzibar. 
Picha na mdau Haroub Hussein.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...