wakazi wa Afrika Magharibi huwa hawana muda wala mahali pa kuchimbia dawa. wao popote tu twende na hakuna noma wala nini... sana sana atakushangaa wewe kwa kumshangaa yeye akichimba dawa barabarani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 21 mpaka sasa

  1. utitusanif michuzi mimi kiswahili nakijua ile mbaya tena napitia sana katika blog yako unatuambia kwamba wagana tuna chimba dawa ovyo wacha hizo mkuu kututusi,tumeendelea zaidi yenu mkuuu tusifiye hilo hao ulio wapiga picha nadhani ni walevi au ni watanzania wakuja ndo wanafanya hivyo

    mdau mganna masaki dar

    ReplyDelete
  2. KWA HILI SIJUI WAAFRICA TUMELOGWA. NCHI NYINGI ZA AFRICA WATU WANAJISADIA POPOTE BILA KUJALI MADHARA YA KIAFYA. LAKINI WAKIUGUA WANAKWENDA KWA WAGANDA KUTAFUTA MCHAWI. FULL WENDAWAZIMU

    ReplyDelete
  3. Na siku hizi wamejaa dar wasituletee tabia yao chafu tuu

    ReplyDelete
  4. Hii kali! Hata sisi tunachimba dawa lakini angalao tunajificha kidogo.

    ReplyDelete
  5. Hiyo itakua ni kaskazini mwa africa kaka,magharibi ni northern sahara. samahani kwa kukumbushana.

    ReplyDelete
  6. wabongo ndo worse....yaani unapita mtaani unakutana na ding'a la nguvu

    ReplyDelete
  7. Kuhusu kuchimba dawa nakubali kaka!

    Hawana vyoo hawa hata mahali Kama airport!

    ReplyDelete
  8. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni naona ni wasafi hakuna makaratasi yaliyozagaa hovyo kama huku kwetu

    ReplyDelete
  9. Nafuu wakojoe ila mitaa misafi.kwa kweli bongo tuko wachafu mno.kun baadhi ya maeneo yatoa harufu kali sana mpaka basi

    ReplyDelete
  10. Lakini kabla ya kunena lolote juu ya hilo, tungejiuliza kwanza, endapo mtu na akili zake timamu, kweli angeweza kufanya hivyo hadharani? Yawezekana wana matatizo ya 'bladder' na hawawezi ku-hold mpaka hapo watakapokwenda kukivumbuwa choo au hapo panapostahili kufanya hivyo. Vile vile waweza kuwa ni walevi au 'majununi' ambao kwao aibu haipo, mradi wamekidhi haja yao.

    ReplyDelete
  11. Hii noma ankal, tunataka kuona mademu na chupi zao wakichuchumia. Je, uliwaona wangapi barabarani?

    ReplyDelete
  12. Jamani mimi ni mtanzania ninaye ishi UK, ukweli juzi juzi tu nilikuwa Ghana baada ya kutokea mjini Dar es salaam, ukweli sio siri Ghana wametushinda sana kwa mbali kwa kila kitu. Uchumi, maendeleo, Elimu, Afya nikimanisha hospitals, majengo na wako well orgarnized. Viongozi wao walikuja kufanya kazi sio kula pesa za wananchi, madini ,mafuta na vinginevyo vyote vinafanya kazi . USEMI WANGU NI KWAMBA GHANA WAMETUSHINDA MIAKA MIA MOJA MBELE

    mdau london ,JACKSON ex Mabibo boy

    ReplyDelete
  13. Ghana oyee, maendeleo hoyee rahisi kufanya biashara na they are vert open society

    ReplyDelete
  14. hao wanakula hadi nyani.sembuse kukojoa barabarani.wala gahna sio pazuri kuzidi dar,wameendelea tu kwenye mambo ya utamaduni lakini mengine ovyo kabisa

    ReplyDelete
  15. Kuchimba dawa sote tunachimba hovyo, kujificha au kutojificha sio hoja. Ila kwa kweli Accra yaonekana kuwa safi kuliko Bongo, tuwe wakweli,itatusaidia sie wenyewe. Kwa nini tufanye propaganda za kujidanganya wakati mambo yapo wazi kabisa?

    ReplyDelete
  16. kibaya zaidi, utakuta jamaa kama huyu hajaoga wiki nzima. Mshikaji ukipita anakusalimia kwa kukupa mkono ule ule aliyoshikia dude lake. Waafrika bwana sijuwi tutakuwa lini. Najuliza, hivi sisi ni wendawazimu ama?

    ReplyDelete
  17. Hawatupi makaratasi hovyo ila wanatupa HAJA hovyo! Hata waEthiopia zao sana haswa maeneo ya MARIKATO. Bha whunet!!

    ReplyDelete
  18. Hata sisi Bongo tunakojoa ovyo. Kuna sehemu nyingi ukipita Dar unakumbana na harufu kali ya mkojo. Hivi wale wamachinga na wachuuzi wengine pale Kariakoo na Manzese wanajisaidia wapi wakati hakuna vyoo vya umma?

    ReplyDelete
  19. Hamna makaratasi au uchafu barabarani kwa sbb ya usafi kwaajili ya ugeni wa msiba wao anony wa Thu Aug 09, 11:13:00 PM 2012, hiyo ni tabia yetu waafrika hata tusiwatetee. Ustaarabu Ulaya tena Magharibi

    ReplyDelete
  20. Katika nchi zinazoongoza kwa usafi na ustaaaarabu duniani ni Vienna, Austria. Mashallah, sijui tutafika lini!

    ReplyDelete
  21. Mwafrika ni yule yule, hakuna cha mghana, muethiopia wala mtanzania. Akili zao sawasawa!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...