Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Dkt Fennela Mukangara akihutubia Mkutano wa Idara ya Huduma za wanawake ya Kanisa la Kiadventista Kanda ya Mashariki wakati wa Ufunguzi wa Semina ya umoja wa wanawake wajasiliamali wa kanisa hilo ulioanza leo jijini Dar es salaam.Semina hiyo itamalizika tarehe 9/9/2012. (Picha na Benjamin Sawe wa WHVUM).


Baadhi ya akinamama wa wa Idara ya Huduma za Wanawake wa Kanisa la Kiadventista Kanda ya Masharika wakimsikiliza Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Dkt. Fennela Mukangara wakati wa uzinduzi wa semina ya siku tatu ya umoja wa wanawake wajasiriamali wa kanisa hilo.(Picha na Benjamin Sawe wa WHVUM).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AWWW kina mama oyeee!!!!!!!! Wasabato Oyeeee mmependeza kweli kweli full kushine bila ma bling bling wanawake originali.
    Nawapenda kina mama na kina dada

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...