Kutakua na mkutano wa ufunguzi wa shina la CCM Leicester, Tawi la UK.
Katika mkutano huo vile vile kutakua na uandikishaji kwa wanachama wapya na pia uchaguzi wa viongozi wa shina.
Katika mkutano huo vile vile kutakua na uandikishaji kwa wanachama wapya na pia uchaguzi wa viongozi wa shina.
Viongozi Wapya wa TAWI, CCM UK pia watakuwepo
Wote mnakaribishwa Mkutano utafanyika siku ya Jumapili Tarehe 09.09.2012 kuanzia saa sita mchana ambapo chakula cha mchana na vinywaji Vitapatikana.
Mkutano utafanyika:
UNIT 6
FIRST FLOOR
KOCHA HOUSE
MALABAR ROAD
LEICESTER
LE1 2PD.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kuwasiliana na:
Wote mnakaribishwa Mkutano utafanyika siku ya Jumapili Tarehe 09.09.2012 kuanzia saa sita mchana ambapo chakula cha mchana na vinywaji Vitapatikana.
Mkutano utafanyika:
UNIT 6
FIRST FLOOR
KOCHA HOUSE
MALABAR ROAD
LEICESTER
LE1 2PD.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kuwasiliana na:
Moses Kusamba, Kupitia namba zifuatazo.
07405272879/ 07903621150.
ABRAHAM SANGIWA
Naibu Katibu Siasa na Uenezi
Chama Cha Mapinduzi Tawi la Uingereza
Imetolewa na Idara ya Siasa na Uenezi, Tawi la CCM ,Uingereza.
Tarehe : 07 September 2012.
sema msiogope sema sisi vijana hatubabaishwi na wapinzani sema.
ReplyDeleteJamani mtuleteeni na mashati ya kijani/tshirt.
CCM OyEEEEEEEEEEEEE!!!!
Rashid Mabehezi
Leicester.