Home
Unlabelled
TAARIFA KWA UMMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
pengine mwandishi alimaanisha kuwa KATIBU MKUU NISHATI ANATAKIWA AJIUZULU. lakini akakatisha kwa kuandika KATIBU MKUU NISHATI AJIUZULU.amekosea nini?.sijalisoma hilo gazeti kuona maudhui yake kwa undani lakini kwa kichwa cha habari hicho hapo naona hamna tatizo lolote.mwandishi alitoa maoni tu, siunajua magazeti yetu yanakimbilia kuuza zaidi kuliko kuwahabarisha wananchi
ReplyDeletehuu ni mtazamo wangu tu
Samahani, na mimi kama msemaji hapo juu nimeelewa ya kwamba gazeti linataka kusema kwamba wanataka Katibu ajiuzulu, na kama aliandika kwa herufi kubwa basi linahamasisha ajiuzulu, labda afanyi kazi vizuri au wizara yake imeoza, KATIBU MKUU NISHATI AJIUZULU. Sijasoma ilo gazeti lakini kufuatana na maelezo ya wizara naona gazeti halina makosa. Naomba wadau wengine mnihelimishe kama nimekosea, samahani lakini.
ReplyDelete