Umoja wa watanzania Ujerumani,unafuraha kutoa wito kwa wasanii
    wa Tanzania wanaoishi nchini Ujerumani,wenye vipaji vya kupiga na
    kuchenza ngoma za kiasili,sanaa za maonyesho kama sarakasi,
    na waimbaji wa kwaya ,kujitokeza hili kuunda kikundi cha ngoma za
    kiasili.
Wasanii tunawaomba muwasiliane na Mwenyekiti wa UTU
    namba ya simu  +49(0)1734298997.

    Wasanii wa Tanzania mnaoishi Ujerumani mnaombwa kutokalia
    vipaji vyenu majumbani,tafadhalini tumieni nafasi hii kujitangaza
    Kuutangaza utamaduni wa nchi yetu.mfano mnauona kwa wanamuziki
    wa dansi wanajitangaza.     Wasanii tumieni nafasi ,jitokezeni kwa wingi kuunda kundi.

    Umoja ni Nguvu
   Mfundo Peter Mfundo
   Mwenyekiti(UTU)
   email. kamati.utu@gmail.com      
simu 01734292997

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...