Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha,Onesmo Nangole (aliesimama) akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa mkutano wa baraza la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoani Arusha uliofanyika katika hotel ya golden rose,ambao  ulikuwa ukizungumzia mambo mengi ikiwemo  kuondoa makundi yaliopo katika chama chao na kujipanga kikamilifu katika kuimarisha chama chao.
 Viongozi wa chama cha mapinduzi  wakiimba wimbo wa chama kabla ya mkutano wa baraza la UVCCM mkoa wa Arusha.
wajumbe walikuwa makini kusikiliza nini haswa kinazungumzwa

 Mmoja wa wauguzi wa hospitali ya mkoa wa Arusha (Mounti Meru Hospital) akiwapa maelekezo viongozi wa Chama cha Mapinduzi  pamoja na wanachama wa UVCCM waliotembelea hospitali hiyo kwa ajili ya kutoa misaada kwa wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo.wa kwanza kulia ni Katibu wa UVCCM mkoa wa Arusha Salus Kidima akifuatiwa na mwenyekiti wa UVCCM mkoa Robson Meitinyiku
 mjumbe wa baraza kuu  la UVCCM taifa toka mkoa wa Arusha Benson Mollel  wa kwanza kushoto akifuatiwa na mwenyekiti UVCCM mkoa Robson Meitinyiku wakitoa msaada kwa mtoto Frank aliyekuwa amelazwa kwenye hospitali ya mounti meru.
wajumbe wa UVCCM pia walikuwepo katika zoezi zima la kugawa  misaada kwa wagonjwa waliokuwa wamelazwa katika hospitali ya mounti meru

 Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Arusha,Robson Meitinyiku akimfariji mtoto mara baada ya kumkabidhi msaada.Picha na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii - Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nimemmaindi huyu binti kulia kwa onesmo, details please.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...