Camera ya Globu ya jamii iliinasa taswira hii ndani ya mji wa Ifakara.Wilayani Kilombero  mkoani Morogoro hivi karibuni,ikiwa imehamasika vyema na mambo ya Dijitali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Huo Uyoga wa Madishi au ndio balaa gani?

    Hapo kwa mahesabu ya haraka haraka:

    1.Mtoto akilia ananuliwa Dishi lake ama (Ungo) ili anyamaze!

    2.Ukimkosea mtu anakudai fidia umlipe Dishi!

    3.Mke akinuna ndani ya nyumba unambembeleza kwa kumnunulia amiliki Dishi lake, licha ya upuku puku wa madishi yaliyopo tayari!

    Mwisho wake frequencies yaani (Mawimbi ya mawasiliano) yataingiliana ama kugongana kwa kutokana na utitiri wa Madishi.

    Je, kwa nini wote msichange mkanunua Dishi moja kubwa lenye nguvu zaidi?

    ReplyDelete
  2. kwa mi ninavyojua watu wengi wa mikoani walikuwa wakitumia digital kitambo sana kwasababu antena za kawaida walikuwa hawawezi kunasa matangazo ya local sation zetu

    ReplyDelete
  3. Jamani au mmesahahu kuwa hiyo nyumba ina wapangaji zaidi ya kumi na kila mtu anajengemea vikwake ila nafu na choo ipo nje na mnashea

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...