Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda (kulia) amekutana na Baraza la Vyama vya Siasa nchini chini ya Mweneyekiti wake Bwana Peter Mziray (kushoto) na kumweleza kuwa Baraza hili linao mwarobaini wa kumaliza machafuko yanayojitokeza nchini kwa sasa. Aidha wajumbe wa Baraza hilo wamemwomba Spika ili wakutane na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete ili waweza kutoa ushauri wao kuhusu machafuko yanayotokea Mtwara, Arusha na kwingineko nchini na jinsi ya kukabiliana nayo.
Wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini chini wakishiriki mkutano huo.Picha na Prosper Minja - Bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 26, 2013

    Haya sasa Hakika tupate solution ya kuondoa vurugu kali zinazojitokeza nchini kwetu kila kukicha na watu kupoteza maisha yao pasipo sababu kabisa. Amani ya nchi yetu inayumba kwa kiasi kikubwa sana sasa hiviiii. Natumaini kikao hiki kitakuja na suluhu ya Amani nchini. MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 26, 2013

    It is still politics!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...