Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma juni 25, 2013 kwa ajili ya kuongoza kikao cha kamati Kuu ya CCM na Baraza la Mawaziri.
Rais Jakaya Kikwete akiwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma juni 25, 2013 kwa ajili ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM na Baraza la Mawaziri . Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. (Picha na Ofisi yawazi Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 26, 2013

    waziri mkuu anavyotembea na mikogo ananikumbusha ile cinema ya simba (lion king)na ule wimbo mashuhuri wa 'hakuna matata' hakuna matata hakuna matata

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 26, 2013

    Hahahaaa!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 26, 2013

    they both look sharp. Big up big guys. Nahisi wako makini na afya zao kwa ujumla!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...