Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood ( kati kati) pamoja na Meya wa Manispaa ya Morogoro , Amiri Nondo, ( mwenye kuvaa koti) Julai 18, 2013, wakibadirishana mawazo  wakati wakikagua ujenzi wa barabara ya Seng’ondo iliyopo eneo la Kata ya Boma, ambayo Meya huyo ni Diwani wa Kata , barabara hiyo inayojengwa kwa kiwango cha lami  na Kampuni ya Uhandisi  ya CGI  na kutaraajiwa  kukamilika  Augosti mwaka huu.( Picha na John Nditi).
 Mbunge Abdulaziz Abood ( kushoto) akiwa na Mwalimu wake ,Madelina Lungu aliyemfundisha wa Shule ya Msingi ya Bungo, mwaka 1967 darasa la nne na tano
 Mbunge Abood akibadilishana mawazo na Mwalimu wake wa zamani wa shule ya msingi, Rehema Ngedere.
 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood ( wanne kutoka kulia) akipata maelezo ya uenjezi wa Barabara la kiwango cha lami.
 Moja kati ya baarabara za Manispaa ya Morogoro zinazojengwa kwa kiwango cha lami katika Kata ya Mji Mpya.
Wananchi wa Kata ya Mji Mpya , Manispaa ya Morogoro wakijumuika na Mbunge wao Abdulaziz Abood ( haonekani pichani) kukagua maendeleo ya mwisho ya ukamilishaji wa Zahanat

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 19, 2013

    Afadhali kuwa na kumbukumbu kama hizi, kwenye siasa hawakawii kusema sio raia!


    sesophy

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 19, 2013

    Mwalimu amechoka. Yaani serikali iangalie kipato na maisha ya walimu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...