Pichani kushoto ni Mdau Josephine Kapoma akiwa na wadau wengine mara baada ya kulamba nondo zake ndani ya chuo kikuu cha Cardiff Metropolitan University-Uingereza
 Pichani juu ni Mdau Josephine Kapoma akiwa  katika picha za pozi na mwenye furaha kubwa mara baada ya kulamba nondo zake ndani ya chuo kikuu cha Cardiff Metropolitan University-Uingereza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Hongera sana dadayangu Josephine Joseph Kapoma mungu akuzidishie hili na jingine utimize malengo yako..

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 16, 2013

    Nakuonea gere mwayego!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 16, 2013

    wewe furahi tu,ajira hamna.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...