MAREHEMU JAJI (MSTAAFU) BUXTON DAVID CHIPETA.

Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wote wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA anasikitika kuufahamisha umma kuwa aliyekuwa Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa SUMATRA Jaji (Mstaafu) Buxton David Chipeta amefariki dunia tarehe 16 Julai, 2013 katika Hospitali ya Hindu Mandal, Dar es Salaam.

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa Marehemu, Oysterbay Mtaa wa Chole/Lincon, Plot No. 580.

Tunaomba tuungane na Familia ya Marehemu Jaji (Mstaafu) Chipeta katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo ya msiba huu mkubwa.

Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!

Kaimu Mkurugenzi Mkuu
SUMATRA
17 Julai, 2013.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2013

    May His Soul Rest in Peace. Amen

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 18, 2013

    Sad news in deed, wanasheria tumepoteza jembe, poleni sana wafiwa , R.I.P Judge(as he then was), mchango wako kwa fani ya sheria na kwa taifa kwa ujumla ulikuwa mkubwa, tutakukumbuka.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...