Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia), akifafanua jambo kwa Mweyekiti wa Kampuni  ya Alhayat Investment na Nembras Investment ya nchini Oman, Shekhe Salim Al-Harthy, wakati walipomtebelea ofisini kwake leo mchana. Kampuni ya Alhayat investment ni kampuni ambayo imeonyesha nia ya kuwekeza kwenye Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).
 Mwenyekiti wa Kampuni ya Alhayat investment na Nembras Investment ya nchini Oman, Shekhe Salim Al-Harthy akifafanua jambo kwa Waziri wa Uchukuzi,Dkt. Harrison Mwakyembe(kulia),wakati mwenyekti huyo alipomtembelea ofisni kwake leo mchana.
Mwenyekiti wa Kampuni ya Alhayat investment na Nembras Investment ya nchini Muscat Shekhe Salim Al-Harthy akifafanua jambo kwa Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe(kulia),wakati mwenyekti huyo alipomtembelea Waziiri wa Uchukuzi ofisini kwake leo mchana. Kampunji ya alhayat imeonesha nia ya kuwekeza katika Shirika la Ndege la Tanzania(ATCL).(Picha na Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini-Uchukuzi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2013

    Kila la kheri

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 19, 2013

    Out of curiosity, you would expect such company with the intention of investing in another country's major airline would at least have some presence online i.e. a website explaining their business etc. but no they just appear from nowhere......

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...