Mkurugenzi wa Ardhi na Usajili Zanzibar Januari Fusi kushoto akizungumza na Waandishi wa Habari leo katika Ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni mjini Zanzibar kuhusu kuanza kwa Zoezi la Kitaifa la utambuzi na usajili wa ardhi katika maeneo yote ya Zanzibar Chini ya Mradi wa SMOLE 2.
 Afisa Mtambuzi na Msajili wa Ardhi Shawana Sudi Khamis kulia akitoa ufafanuzi kwa Waandihi wa habari hawapo pichani, katikati ni Mkurugenzi wa Adhi na Usajili Zanzibar Januari Fusi na kushoto ni Mshauri wa Kiufundi wa zoezi hilo Andrew Smith. Mkutano huo ulifanyika Ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni mjini Zanzibar kuhusu kuanza kwa Zoezi la Kitaifa la utambuzi na usajili wa ardhi katika maeneo yote ya Zanzibar Chini ya Mradi wa SMOLE.
Baadhi ya Waandishi wa habari waliokuwepo katika Ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni mjini Zanzibar Wakimsikiliza Mkurugenzi wa Adhi na Usajili Zanzibar Januari Fusi(hayupo pichani) kuhusu kuanza kwa Zoezi la Kitaifa la utambuzi na usajili wa ardhi katika maeneo yote ya Zanzibar Chini ya Mradi wa SMOLE 2. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo ZANZIBAR

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...