Moja ya tanki la maji (kileleni) lililopo jirani na mashamba ya ngano west Kilimanjaro wilani Siha.
 Naibu waziri wa maji Dk Binilith Mahenge akiwa ameambatana na mkuu wa wilaya ya Siha Dk Charles Mlingwa na baadhi ya maafisa wa mamlaka za maji wa wilaya za Moshi na Siha wakipanda kwenda kutizama moja ya matanki ya maji .
 Naibu waziri wa maji Dk Binilith Mahenge akiwa ameambatana na mkuu wa wilaya ya Siha Dk Charles Mlingwa na baadhi ya maafisa wa mamlaka za maji wa wilaya za Moshi na Siha wakipanda kwenda kutizama moja ya matanki ya maji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mawaziri wote waige mfano wa Dk. Mahenge kufuatilia miradi kwenye maeneo husika badala ya kubaki ofisini kusoma ripoti

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...