Assalaamu Alaykum,
Wapenzi Waislamu wa mji wa Leicester na vitongoji vyake, kwa mara nyingine  JUMUIA YA ANNOOR LEICESTER ina furaha kukualikeni katika
Sherehe za Eid ul Adh-ha hapo JUMANNE 15 Oktoba 2013
Ambazo kwa mara ya kwanza katika historia zitafanyika katika jengo letu jipya Inshaallah.

EID TAKBEER zitaanza saa mbili na robo asubuhi (8.15am)
SALA YA EID itasaliwa saa tatu kasorobo asubuhi (8.45am)
STAFTAHI ya pamoja baada ya Sala
ANWANI: Masjid An Noor Leicester, 170a Belgrave Gate, Leicester, LE1 3XL
Tafadhali wasiliana nasi kwa mchango wako kama kawaida ya miaka yote
Asaa Kakuzi 07951 644936
Malik 07983 614261

EID MUBAARAK !! KULLU AM WA ANTUM BIKHAYR !!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Eid Njema na Muumba atujaalie sote tuwe miongoni mwa waja wema

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...