Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpatia zawadi ya Krismas na Mwaka Mpya Binti Asnah Sudi, kutoka kituo cha kulelea watoto yatima cha Umra kilichoko Magomeni, wakati wa sherehe ya mwaka kwa watoto yatima aliyoiandaa kwa kushirikiana na Twiga Cement na Klabu ya Rotary ya Dar es Salaam tarehe 14.12.2013.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiangalia baadhi ya michezo iliyokuwa ikichezwa na watoto yatima kutoka baadhi ya vituo hapa Dar es Salaam kwenye sherehe ya mwaka ya watoto hao iliyofanyika tarehe14.12.2013.
Father Krismas akiwagawia watoto yatima zawadi zao wakati wa hafla iliyoandaliwa na Mama Salma Kikwete kwenye ofisi za WAMA, tarehe 14.12.2013.
Baadhi ya watoto yatima kutoka vituo vya kulelea vya, Umra, Kurasini MUMalaika wakiwa katika hafla ya kumaliza mwaka zilizofanyika kwenye ofisi za WAMA. Sherehe hiyo iliandaliwa kwa pamoja na Twiga Cement, Rotary Club na WAMA tarehe 14.12.2013.PICHA NA JOHN LUKUWI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...