Meneja wa Vodacom Tanzania,Manispaa ya Morogoro Kamanda Kasapila[kushoto] akihakika kadi za pikipiki za washini wa bodaboda wanaoshuhudia kulia kabla ya kuwakabidhi washindi hao,waliojishindia katika promosheni ya Timka na Bodaboda inayoendeshwa na kampuni hiyo.
Washindi wa nne wa Promosheni ya Timka na Bodaboda kutoka wilaya mbali mbali za mkoa wa Morogoro'
Baadhi ya Washindi wa promosheni ya Timka na Bodaboda wakiwa juu ya pikipiki zao mara baada ya kukabidhiwa rasmi pikipiki zao na Meneja wa Vodacom Tanzania,Manispaa ya Morogoro Kamanda Kasapila[hayupo pichani]
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...