Katibu mkuu  wa  Chadema  Dr  Wilbroad Slaa akiwahutubia  wananchi  wa Kahama mara  baada ya  kuwasili mjini hapo kwa  ziara  yake  ya  kichama jana
Dr Slaa akisalimiana na  wananchi waliofika  kumpokea mjini Kahama  jana. leo Desemba 5, atakuwa Wilaya ya Kakonko, Jimbo la Buyungu na Desemba 6, atakuwa Jimbo la Muhambwe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Karibu karibu Mheshimiwa Slaa, tunakusubiri kwa hamu kubwa huku Kigoma uje utuondolee kidudu mtu.

    ReplyDelete
  2. These meetings are a waste of people's time. I believe they are forced to attendx

    ReplyDelete
  3. mambo ya kizamani hayo mikutano isiyokuwa na faida kwa wananchi wengi walio masikini.je maendeleo gani Slaa na Mbowe tokea wanakiongoza Chadema wamewaletea wananchi?

    ReplyDelete
  4. Mabati ya kutu yaliyo expire Kahama yabadilishwe.

    ReplyDelete
  5. Shida za wananchi zitatuliwe Ndio muhimu Si mikutano isiyokuepo.

    ReplyDelete
  6. Imebainika kwamba picha hizo ni za zamani, ukweli nikwamba. Hakupata mapokezi kama haya

    ReplyDelete
  7. Mkubwa ni hivi watanzania wa leo hatudananyiki na hizo uchafu wako. katika maisha yangu sintojaribu hata siku moja kupigia majangili/wezi/majambazi /mafisadi wa ccm. nitapiga kura kila uchaguzi lakini kura yangu itaenda upinzani siku zote. Inchi inaendeshwa na walanguzi/majangili ona leo tembo wanavyo kwisha,madini yanapolwa,unyonyaji mkuwa ,inchi inaendeshwa bila kuwa na sera(policy) ni ubabaishaji tu. Yalivyokuwa na akili za chooni eti wanataka kuondoa fao la kujitoa katika mifuko ya hifadhi wakati wanajua kwamba ajira za sekta binafsi hazielweki/hazidumu ni fupi sana.ajira za migodini ni ngumu sana na hatarishi mtu anafanya kazi kwa muda tu na kuiacha ili aokoe afya yake,malipo ya migodini ni ushenzi mtupu expart analipwa zaidi ya mil 20 mbongo laki 2 na nusu mpaka laki 4 hiki ni nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...