Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dk. Harrison Mwakyembe akitia sahihi kitabu cha wageni alipotembelea banda la NMB katika maonesho ya Mbeya Expo yaliyofanyika katika viwanja vya Mkapa vilivyopo soko la Matola jijini Mbeya. Maonesho hayo yalidhaminiwa na Benki ya NMB.
Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za juu Kusini, Lucresia Makiriye, akimwelezea Waziri wa Uchukuzu, Mhe. Dk. Harrison Mwakyembe huduma na bidhaa zinazotolewa na benki ya NMB mara alipotembelea banda la NMB katika maonesho ya Mbeya Expo yaliyodhaminiwa na benki ya NMB.
Afisa wa benki ya NMB, Jacquiline Tumaini (tatu kushoto) akimfungulia akaunti ya NMB ChapChap mteja aliyehudhuria maonesho ya Mbeya Expokatika viwanja vya Mkapa, vilivyopo soko la Matola jijini Mbeya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...