Bibi Salamanca (kulia) akisisitiza jambo huku Balozi wa Colombia nchini Tanzania mwenye makao yake Nairobi, Kenya Mhe. Maria Lugenia Correa akisikiliza kwa makini. |
Picha na Reginald Philip Kisaka.
Most read Swahili blog on earth
Bibi Salamanca (kulia) akisisitiza jambo huku Balozi wa Colombia nchini Tanzania mwenye makao yake Nairobi, Kenya Mhe. Maria Lugenia Correa akisikiliza kwa makini. |
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Colombia,
ReplyDeleteTanzania ina fursa lukuki za kiuwekezaji na uchumi wa njia za kawaida za kihalali na sio uchumi wa sembe.
-Njooni tuchimbe madini,
-Njooni tuendeshe kilimo cha mazao ya chakula na biashara na sio kilimo cha 'unga'
-Njooni tuendeshe uvuvi,
-Njooni tutafute Gesi nyingine zaidi na Mafuta,
-.....
Karibuni tufanye biashara za kiukweli kweli na sio 'mamizigo mamizigo' maana Colombia INAJULIKANA KUWA ni SHAMBA KUBWA LA KUSINI LA UNGA !!!