Dj akiwa makini kuhakikisha watu wanaburudika na miziki 
mizuri ya Kihindi wakati wa Tamasha la  LAKE GAS INDIAN FOOD 
 lililofanyika Jumapili Oysterbay jijini Dar es salaam
 Mandhari ya eneo la tukio
 Palipendeza
 Mama na mwanae akionekana ni mwenye furaha
 Mstahiki Meya wa Kinondoni Mhe Yusuf Mwenda
 akipokea zawadi ya unga kutoka kwa mwakilishi wa banda la Azam
 Mstahiki Meya wa Kinondoni Mh.Yusufu Mwenda(kushoto)
akifatiwa na balozi wa India Mhe.  Debnath Shaw na familia zao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...