Dj akiwa makini kuhakikisha watu wanaburudika na miziki
mizuri ya Kihindi wakati wa Tamasha la LAKE GAS INDIAN FOOD
Mandhari ya eneo la tukio
Palipendeza
Mama na mwanae akionekana ni mwenye furaha
Mstahiki Meya wa Kinondoni Mhe Yusuf Mwenda
akipokea zawadi ya unga kutoka kwa mwakilishi wa banda la Azam
Mstahiki Meya wa Kinondoni Mh.Yusufu Mwenda(kushoto)
akifatiwa na balozi wa India Mhe. Debnath Shaw na familia zao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...