MAREHEMU AYOUB FELIX MLAY 

Ni mwaka mmoja umepita tangu uhai wako ulipotolewa bila sababu na bila kutuaga na kutangulia kwenye pumziko la milele mbinguni. Unakumbukwa na Wazazi wako Felix na Amina Mlay wa Kiboriloni Moshi,watoto wako Erick,Dereck na Michelle,pamoja na Mama zao,Jane na Vicky. 

Bila kuwasahau wadogo zako Adam,Gabriel,Charles,John,Richard na Dada zako wapendwa Sarah,Eunice,Neema,Diana,Ludie na Marafiki zako wote wa Moshi,Arusha na Dar es Salaam wakiwakilishwa na Ndugu Theoflo na Muheshimiwa Rita Mlaki na Wanachama wote wa RG Sports Club (Rose Garden Club) ya Dar es Salaam. Upole na ucheshi wako utakumbukwa daima na tunaanini siku moja tutakutana mbinguni. Upumzike kwa Amani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...