Ofisa Uhusiano Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) ,Dorris Malulu, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kisima kilichojengwa kwa msaada wa kampuni hiyo katika Zahanati ya NBC Tabata, Dar es Salaam. Kisima hicho kilizinduliwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii Ilala, Angelina Malembeka.Kushoto ni Mganga Mkuu wa Ilala, Willy Sangu na anaye fatia ni Mwakilishi wa Mkurugenzi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Dk Assenga Severine na kulia ni Mganga Mfawidhi Zahanati ya Tabata NBC ,Catherine Akili.
 Wauguzi wa Zahanati ,ya Tabata NBC, Dar es Salaam, wakishangilia baada ya Ofisa Uhusiano Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu kukabidhi  msaada wa kisima kwa zahanati hiyo.
 Baadhi ya wakazi wa Tabata  waliofika kwa kupata huduma za tiba katika Zahanati hiyo wakishiriki katika hafla hiyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...