Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omari Mjenga akiwa na wanadiplomasia wenzake kwenye  sherehe za kimataifa za usomaji Quran jijini Dubai leo
 Mgeni rasmi   Mtukufu Sheikh Maktoum bin Mohamed bin Rashid al Maktoum akiwa picha ya pamoja na washindi. Kulia kwake ni kijana kutoka Nigeria akiyeibuka mshindi.
 Mheshimiwa Mjenga akiwa na bw. Ali Mwalimu, mshiriki kutoka Tanzania. 
Mheshimiwa Balozi Mdogo Mjenga akiwa na familia yake kwenye sherehe hizo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...