afrimma_flyer_web2

Baada ya BET Dimond anarejea tena nyumbani Afrika,akiwa nominated kwenye Tuzo za  #Afrimma( AFRICAN MUSIC MAGAZINE AWARDS) awards,zitakazofanyika jijini Richardson, Texas,tarehe 26 july.

akiwa nominated kwenye category 5.

Best male East Africa
Song of the year(number1).
Video of the year (number 1)
Best collabo (number 1 rmx)ft Davido
And Best Afrikan Artist of the year
Ili ku-vote fuata link hii  http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/

Kisha vote kwenye kila category niliyopo.
Ahsanteni 
Hapa chini angali video mpya ya Diamond "Mdogo Mdogo"

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 20, 2014

    Diamond Platinumz apamoja na Mrisho Mpoto wote wapo ktk kinyang'anyiro AFRIMMA cha msanii bora katika fani za muziki wa kizazi kipya kwa Diamond na muziki wa asili kwa Mrisho Mpoto, hivyo hima tuwapigie kura.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...