Ligi ya La liga ya Italia imeendelea weekend hii huku timu ya Real Madrid ikinyuka mtu goli 3 kwa 1 na kuendelea kukaa kileleni. https://youtu.be/TIk-rLmnvqQ
  
Klabu ya Yanga ya jijini Dar es salaam imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2 kwa bila dhidi ya Kagera Sugar huko Tabora. https://youtu.be/2xT90QEpaZc
  
Klabu ya Simba imefanikiwa kuishushia kipigo cha mbwa mwizi klabu ya Majimaji ya Songea baada ya kuibuka kwa ushindi wa goli 4 kwa O. https://youtu.be/IlirdYJ8txM

Klabu ya Liverpool imefanikiwa kumtundika Chelsea nyumbani kwake kwa ushindi wa goli 3 kwa moja na kumuacha mourinho mdomo wazi. https://youtu.be/jyHVm75cHgw

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...