Barabara za kuingia na kutoka katika Daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam zinavyoonekana, wakati Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu walipotembelea na kujionea maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo ambalo limekamilika kwa asilimia 99.9 na litaanza kutumika rasmi kuanzia Aprili 16.
Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara (kulia) akibadilishana mawazo na Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Juma Kintu na Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja ala Kigamboni, Karim Mataka wakati Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ilipotembelea dalaja hilo.
Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja ala Kigamboni, Karim Mataka wakati Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ilipotembelea dalaja hilo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...