Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Malikia wa Mipasho wewe tunakukubali katika akinamama wanamuziki wewe umechangia kwa kiasi kikubwa sana katika mapinduzi ya kuuweka muziki wa taarabu kufikia hapa- Mungu akuzidishie nguvu.
    wadau
    Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni
    Ujerumani

    ReplyDelete
  2. Hongera na pongezi za dhati mpaka hapo ulipofikia Bi Khadija Omar Kopa katika fani yako hiyo ya Muziki huo wa Taarab, maana tangu Taarab asilia mpaka leo hii abadan siyo mas'khara. Pia nimpongeze sana sana na Mwl. Haji Machano kwani kwa ufahamu wangu pia nae kwa njia moja ama nyingine baadhi ya mashairi yake, pia yaliweza kuwa mchango mkubwa sana katika kupiga hatuwa zaidi katika fani yako hiyo. Mwenyeez Mungu azidi kukulinda na kukuongoza uzidi kupiga hatuwa na kuendelea kuwapa burdani 'mujarrab' wateja wako.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...