Watoto wa marehemu kwa umoja wao wakiweka shada la Maua kwenye kaburi la Baba yao.

Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Joachim Liyumba (68), aliyefariki Aprili 18 na umezikwa mwishoni mwa wiki kijijini kwao, Kwiro, Mahenge Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro.Mwili ailaze roho ya Marehemu Mahali pema Peponi-Amin
Mazishi yalifanyika huku mvua kubwa ikinyesha
Pamoja na Mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha kijijini hapo,lakini Watu mbalimbali walishiriki kuupumzisha mwili wa Marehemu Liyumba katika nyumba yake milele
 Watoto wa Marehemu Liyumba wakiangua vilio wakati kaburi la Mpendwa baba yao likifukiwa.
Mwili wa marehemu wa Liyumba ukiwasili katika makaburi yaliyopo nje ya kanisani la Katoriki parokia ya Kwiro jimbo la Mahenge,tayari kwa kupumzishhwa kwenye nyumba yake ya milele.PICHA KWA HISANI YA http://shekidele.blogspot.com/

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...