Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (wa pili kushoto), akiangalia namna mkongo wa Taifa ulivyopitishwa katika moja ya madaraja ya Mto Malagarasi. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Kamugisha Kazaura akiangalia kwa makini.
 Wafanyakazi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wakimsikiliza Waziri wa Wizara Prof. Makame Mbarawa, (hayupo pichani), wakati alipoongea nao mkoani Katavi.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, akiongea na wafanyakazi wa taasisi zilizo chini ya wizara hiyo wakati akifanya majumuisho ya ziara yake, mkoani Kigoma.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (wa tano kutoka kulia mstari wa kwanza), akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoani Kigoma.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, 
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...