Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (wa pili kushoto), akiangalia
namna mkongo wa Taifa ulivyopitishwa katika moja ya madaraja ya Mto Malagarasi.
Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw.
Kamugisha Kazaura akiangalia kwa makini.
Wafanyakazi wa Taasisi
zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wakimsikiliza Waziri
wa Wizara Prof. Makame Mbarawa, (hayupo pichani), wakati alipoongea nao mkoani
Katavi.
Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, akiongea na wafanyakazi wa
taasisi zilizo chini ya wizara hiyo wakati akifanya majumuisho ya ziara yake,
mkoani Kigoma.
Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (wa tano kutoka kulia mstari wa
kwanza), akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Wakala wa Barabara
Tanzania (TANROADS), mkoani Kigoma.
Imetolewa na Kitengo
cha Mawasiliano Serikalini,
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...