Kaimu Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji
Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Audax Peter Rutabanzibwa akiwaeleza
waandishi wa habari (Hawapo pichani) Kuhusu makusudio ya Tume hiyo kuvifuta
vyama 1862 katika daftari la vyama vya Ushirika vyama ambavyo vimekiuka matakwa
ya sheria ya vyama vya ushirika No.6 ya mwaka 2013. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi
wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Kaimu Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji
Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Audax Peter Rutabanzibwa akiwaeleza
waandishi wa habari (Hawapo pichani) Kuhusu makusudio ya Tume hiyo kuvifuta
vyama 1862 katika daftari la vyama vya Ushirika vyama ambavyo vimekiuka matakwa
ya sheria ya vyama vya ushirika No.6 ya mwaka 2013. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi
wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa na kushoto Afisa Uhusiano wa
Tume hiyo Bw. Bunyanzu Ntambi.
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia mkutano
huo.PICHA
NA HASSAN SILAYO- MAELEZO
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...