
Balozi wa Cuba Jorge Luis Lopez Tormo (kulia), akimvisha nishani Waziri Mkuu mstaafu, Dkt. Salim Ahmed Salim kutokana na kutambua mchango wake katika kudumisha mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Cuba, hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam . (Picha na Francis Dande)

Balozi wa Cuba Jorge Luis Lopez Tormo (kulia), akisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu, Salim Ahmed Salim hapo jana kabla ya kuvishwa nishani ya kuutambua mchango wake katika kudumisha mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Cuba, hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.


Mpaka sasa sijaona Tanzania ikisherehekea mchnago wa Kuba katika maendeleo yake; ikiwa ni pamoja na ukombozi wa Afrika!
ReplyDeleteShirika la Utalii liwakaribishe angalau wakuba 10 waje kutalii nchini bure!