Wakazi wa kijiji cha Mpuguso wilayani Rungwe mkoani Mbeya wakishangilia baada ya kupata taarifa za msaada wa saruji kutoka kampuni ya Lafarge Tanzania.
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla akipokea mifuko ya saruji kutoka kwa Maofisa wa kampuni ya Lafarge Tanzania kwa ajili wa ujenzi wa Kituo cha Afya cha kata ya Mpuguso kilichopo wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya,(kushoto ni Fundi Mshauri wa ujenzi wa gharama nafuu wa Lafarge Evarist Mnyema,Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko Allan Chonjo na Meneja wa Habari na Mahusiano Straton Bahati.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...