Mkurugenzi mawasiliano na Masoko wa kampuni ya saruji la Lafarge Tanzania Allan Chonjo akiwaeleza wananchi wa kijiji cha Mpuguso kata ya Mpuguso wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwamba kampuni hiyo imetoa mifuko 150 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa Kituo Cha Afya cha kata hiyo, kushoto ni mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla.
Wakazi wa kijiji cha Mpuguso wilayani Rungwe mkoani Mbeya wakishangilia baada ya kupata taarifa za msaada wa saruji kutoka kampuni ya Lafarge Tanzania.
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla akipokea mifuko ya saruji kutoka kwa Maofisa wa kampuni ya Lafarge Tanzania kwa ajili wa ujenzi wa Kituo cha Afya cha kata ya Mpuguso kilichopo wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya,(kushoto ni Fundi Mshauri wa ujenzi wa gharama nafuu wa Lafarge Evarist Mnyema,Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko Allan Chonjo na Meneja wa Habari na Mahusiano Straton Bahati.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...