Mkazi wa Mkolani jijini Mwanza na Mshindi wa Promosheni ya”Kamata Mpunga”inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Shomari Almas(kushoto) akionyesha Sh 20 Milioni kwa waandishi wa habari,baada ya kukabidhiwa na Meneja Mauzo wa kampuni hiyo kanda ya ziwa,Victoria Chale(kulia) kwenye hafla ya kumkabidhi kitita hicho iliyofanyika jijini Mwanza jana.
 Mkazi wa Mkolani jijini Mwanza na Mshindi wa Promosheni ya”Kamata Mpunga”inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Shomari Almas,akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupokea Sh 20 Milioni kwenye hafla iliyofanyika jijini Mwanza jana.
 Mkazi wa Mkolani jijini Mwanza na Mshindi wa Promosheni ya”Kamata Mpunga”inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Shomari Almas(wanne kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa wakati wa hafla fupi jana ya kukabidhiwa kitita chake cha Shilingi Milioni 20/= alizojishindia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...